Murray kucheza raundi ya pili Wimbledon
Andy Murray na Waingereza wenzake watatu wamefuzu kucheza raundi ya pili ya michuano ya tenis ya Wimbledon
Chile yafuzu fainali za Copa America
Hii ndio mara ya kwanza Chile imefuzu kuingia fainali kwa miaka 28. Iliweza kuinyuka Peru mabao mawili kwa moja.
- 30 Juni 2015
Ramos kunyakuliwa na Machester United?
Timu ya Manchester inawania kumsajili Sergio Ramos ambaye anataka kuondoka Real Madrid baada ya kushindwa kuongezewa mshahara.
- 30 Juni 2015
Gatlin aweka muda bora mita 200
Mwanariadha wa mbio
fupi Justin Gatlin ameweka muda bora zaidi katika mbio za mita 200 na
kuwa wa tano duniani aliposhinda mbio hizo nchini Marekani.
- 29 Juni 2015
England yaiondoa Canada :Kombe la Dunia
Timu ya wanawake ya
England ilifuzu kwa mara ya kwanza katika hatua ya nusu fainali ya kombe
la dunia baada ya kuilaza Canada 2-1
- 28 Juni 2015
Copa America:Paraguay yaiondoa Brazil
Paraguay imejikatia tikiti ya nusu fainali ya mchuano wa Copa America baada ya kuilaza Brazil katika hatua ya robo fainali.
- 28 Juni 2015
Ghana FA lakanusha ubadhirifu Brazil
Shirikisho la soka la Ghana limekanusha madai ya ubadhirufu wa fedha katika kombe la dunia la mwaka uliopita Brazil
- 27 Juni 2015
Tevez arejea nyumbani Boca Juniors
Straika wa Argentina Carlos Tevez amekamilisha Uhamisho wake kwenda Boca Juniors kutoka kwa Mabingwa wa Italy Juventus.
- 27 Juni 2015
Southgate kuendelea kuwa kocha England
kocha wa timu ya vijana ya England chini ya miaka 21 Gareth Southgate amesema anataka kuendelea kuwa kocha wa kikosi hicho.
- 25 Juni 2015
Andy
Murray anaungana na Waingereza wenzake watatu kucheza hatua ya pili ya
michuano ya tenis ya Wimbledon inayoendelea jijini London, baada ya
kumcharaza Mikhail Kukushkin wa Kazakhstan.
Murray, wa tatu kwa
ubora duniani alishinda kwa seti 6-4 7-6 (7-3) 6-4 katika mchezo
uliodumu kwa saa mbili na dakika 13 wakati hali ya hewa ikiwa nyuzi joto
41 za Selisyasi.Murray anasema ilikuwa mechi ngumu. Na yeye ndiye aliyeifanya iwe hivyo katika seti ya pili ya mchezo.
Kuingia raundi ya pili Murray anaungana na Waingereza wenzake Liam Broady, Aljaz Bedene na James Ward kutinga raundi ya pili, akiwemo pia Heather Watson namba moja kwa ubora nchini Uingereza kwa upande wa wanawake akimbwaga Caroline Garcia wa Ufaransa kwa seti 1-6 6-3 8-6 .
Hii ni mara ya kwanza kwa Waingereza wanne kwa pamoja kutinga raundi ya pili tangu mwaka 2006. Katika raundi hiyo Murray atakabiliana na Mholanzi Robin Haase, ambaye alimbandua Alejandro Falla wa Colombia kwa seti nne.
amos kunyakuliwa na Machester United?
- 30 Juni 2015
Timu
ya Manchester United ya Uingereza inaamini kuwa Sergio Ramos mwenye
umri wa miaka 29 anataka kuondoka Real Madrid baada ya timu hiyo
kushindwa kumwongezea mkataba, ambapo mkataba wa sasa unamalizika mwaka
2017.
Manchester United imependekeza kitita cha pauni milioni 28.6 kwa Real Madrid ili kumnyakua mlinzi wake Sergio Ramos.Mchezaji huyo wa kimataifa wa Hispania ameichezea timu ya Real mara 445.
Ramos alijiunga na Real akitokea timu ya Sevilla mwaka 2005.
Ameichezea timu ya taifa ya Hispania mara 128 na alikuwa katika kikosi cha kwanza wakati waliposhinda kombe la Ulaya mwaka 2008, 2012 na Kombe la Dunia mwaka 2010.
- Saa 2 zilizopita
- 30 Juni 2015
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni